iqna

IQNA

tuzo ya haki
OHIO (IQNA) - Gazeti maarufu la Marekani limemtaja wakili wa Kiislamu Roula Allouch miongoni mwa wanawake 10 bora wa kipekee waliochaguliwa kwa ajili ya Tuzo ya Wanawake Bora wa Mwaka 2023 kwa kutambua juhudi zake na mashirika ya utetezi ya kitaifa.
Habari ID: 3477567    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/07

Haki za Binadamu
TEHRAN (IQNA)- Katibu wa Tume ya Haki za Binadamu ya Idara ya Mahakama ya Iran amesema, tuzo ya saba ya mkutano wa kila mwaka wa Haki za Binadamu za Kiislamu atatunukiwa mwandishi wa habari Shahidi Shireen Abu Akleh na Mandla Mandela mpigavita ubaguzi wa rangi wa Apathaidi katika kuwaunga mkono watu wa Palestina.
Habari ID: 3475573    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/03